Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais akishiriki Futari iliyoandaliwa na Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) iliyohusisha Viongozi wa Dini na Wadau wa Amani, Dar es Salaam Machi 19, 2026.
Makamu wa Rais akifungua Maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Kampeni ya Upandaji Miti Kitaifa, Lindi, Machi 19, 2026.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais akiwafuturisha ongoza watumishi wa Ofisi hiyo jijini Dodoma Machi 18, 2026.
Makamu wa Rais akiwasili Chato, Geita Machi 16, 2026 kuwa mgeni rasmi Kumbukizi ya Hayati Dkt. Magufuli, itakayofanyika Machi 17, 2026.
Makamu wa Rais akishiriki Misa Takatifu katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, Jimbo Kuu Katoliki Songea Machi 15, 2026.
Waziri Masauni afanya ziara mkoani Geita kukagua shugjuli za mazingira
Settings