Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amezindua Wiki ya Maadhimisho ya Miaka 60 ya JKT Julai mosi, 2023 jijini Dodoma.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amefungua Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Juni 06, 2023 mkoani Tabora.
Wananchi Ilazo wajitokeza kufanya usafi eneo la Dodoma kuadhimisha Wiki ya Mazingira Juni 04, 2023.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya usafi katika Barabara za jijini Dodoma ikiwa ni Wiki ya Mazingira Juni 5, 2023.
1. Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde ameongoza zoezi la usafi wa mitaro Makole, Dodoma Juni 2, 2023 kuadhimisha Wiki ya Mazingira
Settings