Ziara ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Hafla ya Makabidhiano ya Kituo cha Taifa cha Ufuatilijia wa Kaboni (NCMC) kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwenda Ofisi ya Makamu wa Rais iliyofanyika Mjini Morogoro.
Kikao cha Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi azindua Jengo la Viongozi Mashuhuri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam
Makabidhiano ya Ofisi kati ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Richard Muyungi na aliyekuwa Katibu Mkuu Mhe. Balozi Mhandisi Cyprian Luhemeja, Dodoma, Januari 14, 2025.
Matukio mbalimbali wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipowaapisha Viongozi mbalimbali akiwemo Dkt. Richard Stanslaus Muyungi kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 13 Januari,2026.