Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amefanya mazungumzo na Rais wa Slovenia Mheshimiwa Natasa Pirc Musar mjini Doha, Qatar Machi 07, 2023.
Makamu Dkt. Philip Mpango amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Msaidizi - Uwezeshaji Sekta Binafsi wa Green Climate Fund Bw. Soji Omisore Doha, Qatar Machi 06, 2023.
Ofisi ya Makamu wa Rais imetoa mafunzo kwa mawakala wa forodha kuhusu udhibiti na usimamizi wa kemikali zinavyomong’onyoa tabaka la ozoni.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango ameongoza zoezi la upandaji miti miaka 58 ya Mapinduzi Jan 12, 2023 Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mary Maganga amefungua warsha ya Kikanda kuhusu Mpango wa Matumizi ya Eneo la Bahari.
Tanzania imeikabidhi Burundi uenyekiti Usimamizi Endelevu Ziwa Tanganyika
Settings