Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Maktaba ya Picha

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya usafi katika Barabara za jijini Dodoma ikiwa ni Wiki ya Mazingira Juni 5, 2023.
1. Naibu Waziri wa Kilimo na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde ameongoza zoezi la usafi wa mitaro Makole, Dodoma Juni 2, 2023 kuadhimisha Wiki ya Mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo amefanya usafi wa mazingira katika eneo la Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege, Dodoma kuzindua Wiki ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Juni Mosi, 2023.
Waziri Jafo amekutana na kuzungumza na Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka upande wa Zanzibar Aprili 18, 2023 katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango ameongoza zoezi la usafi katika Soko Kuu la Wamachinga, Dodoma kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani Juni 05, 2023.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki majadiliano ya Viongozi wa Juu kuhusu kuhusu kuboresha utaratibu wa ufadhili wa miradi ya maendeleo na majukumu ya taasisi za fedha yaliofanyika Sharm El Sheikh Misri Mei 23, 2023.
Settings