Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Addis (AICC) Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia. Tarehe 08 Septemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizindua Kituo cha Upandikizaji Figo kilichopo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma tarehe 03 Septemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Addis kushiriki Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika katika Jiji la Addis Ababa nchini Ethiopia. Tarehe 08 Septemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Kembo Campbell Mohadi alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa katika ziara ya kikazi nchini Tanzania. Tarehe 30 Agosti 2025.
Settings