Maktaba ya Picha

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga ameongoza Kikao cha Mradi wa kujenga uwezo wa kuhimili athari za Mabadiliko ya Tabianchi Septemba 30, 2022, Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway (Maendeleo ya Kimataifa na Nchi za NORDIC) Mhe. Anne Veathe Tvinnereim Septemba 8, 2022, Dodoma.
Kikao cha kuwasilisha Taarifa ya hatua zilizofikiwa katika kuhuisha Sheria ya Hifadhi ya Mazingira, Sura 191 kwa Kamati ya Bunge Septemba 07, 2022.
Matukio ya Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo Dar es Salaam, Septemba 01, 2022.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amefanya mazungumzo na Balozi wa Singapore nchini Tanzania Mhe. Douglas Foo, Mazungumzo Ikulu Chamwino, Dodoma Agosti 30, 2022.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis akipanda katika kijiji cha Bulambuka wilayani Nzega mkoani Tabora wakati wa ziara ya kukagua Mradi wa LDFS Februari 25, 2023
Settings