Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais ashiriki mazishi ya Mbunge mstaafu Marehemu Munde Tambwe mkoani Tabora Februari 04, 2026
Waziri Hamad Yussuf Masauni na Naibu Waziri Dkt. Festo Dugange washiriki Kikao cha Saba cha Mkutano wa Pili wa Bunge jijini Dodoma Februari 04, 2026.
Dkt. Muyungi, NEMC, Benki ya Dunia wajadiliana kuhusu kupunguza matumizi ya zebaki kwa wachimbaji wadogo.
Makamu wa Rais akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyofanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli, Dodoma Februari 02, 2026.
Mkutano na Taasisi Wakala wa Mfuko wa Dunia wa Hifadhi ya Mazingira (GEF) uliofanyika jijini Dodoma Januari 30, 2026.
Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikagua ukarabati wa Jengo la Ofisi yake Mtaa wa Luthuli, Dar es Salaam
Settings