Makamu wa Rais akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliyofanyika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli, Dodoma Februari 02, 2026.
Mkutano na Taasisi Wakala wa Mfuko wa Dunia wa Hifadhi ya Mazingira (GEF) uliofanyika jijini Dodoma Januari 30, 2026.
Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikagua ukarabati wa Jengo la Ofisi yake Mtaa wa Luthuli, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Massauni afanya mazungumzo na Balozi wa Norway