Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Kitengo kinaundwa na Mkaguzi wa Ndani Mkuu


Bi. Mwatano Maganga

Lengo

Kutoa huduma za ushauri kwa Afisa Masuhuli kuhusu matumizi sahihi ya rasilimali

Kitengo hiki kinatekeleza majukumu yafuatayo:-

  • (i). Kukagua na kutoa taarifa kuhusu mapokezi na utunzaji wa fedha na matumizi ya mali na fedha za Serikali;
  • (ii). Kuangalia Ufanisi na Ukamilifu katika utekelezaji wa Sheria na Kanuni za Fedha.
  • (iii). Kujiridhisha kwa uwepo wa udhibiti wa kutosha katika mifumo ya fedha na ile ya utendaji kwa lengo la kuongeza tija; na
  • (iv). Kukagua na kutoa taarifa juu ya uainisho sahihi wa vifungu vya mapato na matumizi ya fedha za Serikali.
Settings