Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais akiwafuturisha ongoza watumishi wa Ofisi hiyo jijini Dodoma Machi 18, 2026.
Makamu wa Rais akiwasili Chato, Geita Machi 16, 2026 kuwa mgeni rasmi Kumbukizi ya Hayati Dkt. Magufuli, itakayofanyika Machi 17, 2026.
Makamu wa Rais akishiriki Misa Takatifu katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Mathias Mulumba Kalemba, Jimbo Kuu Katoliki Songea Machi 15, 2026.
Waziri Masauni afanya ziara mkoani Geita kukagua shugjuli za mazingira
Ziara ya Waziri Masauni katika Kiwanda cha Ziwa Steel Matela wilayani Magu, Mwanza
Makamu wa Rais akishiriki iftari na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma Machi 14, 2026.