Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Maktaba ya Picha

Makamu akikabidhiwa Kombe Maalum la Ushindi wa Netiboli ya Ofisi ya Makamu wa Rais na vyeti vya pongezi ilivyopata katika ligi ya Muungano iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Iftar aliyoandaa Dodoma, tarehe 11 Machi 2026.
Makamu wa Rais afanya Mazungumzo na Viongozi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Maji na wataalamu Dodoma, Machi 10, 2026.
Dkt. Muyungi akishiriki Iftar aliyowaandali wadau Dar es Salaam Machi 06, 2026.
Waziri Hamad Yussuf Masauni azindua Bodi ya NCMC tarehe 06 Machi, 2026, Dar es Salaam.
Settings