Maktaba ya Picha

Ofisi ya Makamu wa Rais imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 na Makadirio ya Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 kwa Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira, Dodoma Machi 24, 2023.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amekagua miradi ya maendeleo Wilaya ya Buhigwe, Kigoma Machi 23, 2023.
Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira imetembelea Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo Kame nchini (LDFS) katika Wilaya ya Nzega, Tabora.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Mpango amefungua Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Wilaya jijini Dodoma Machi 13, 2023
Ofisi ya Makamu wa Rais imewasilisha Taarifa kuhusu muundo na majukumu yake kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria katika Ukumbi wa Ofisi za Bunge jijini Dodoma Machi 13, 2023.
Settings