Kitengo cha TEHAMA

Kitengo kinaongozwa na Mkuu wa Kitengo

Bi. Joyce Mnunguli

Lengo

Kutoa utalaamu katika huduma za matumizi ya TEHAMA katika Ofisi

Majukumu ya Kitengo ni kama ifuatavyo:-

  • (i). Kusimamia utekelezaji wa Miongozo mbalimbali inayotolewa na wakala wa Serikali Mtandao (eGA)kwa lengo la kuboresha utendaji;
  • (ii). Kutoa msaada wa kiufundi na kitaalamu katika masuala ya TEHAMA;
  • (iii). Kusimamia miundombinu ya vifaa vya TEHAMA Wizarani.
Settings