Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Kitengo cha TEHAMA

Kitengo kinaongozwa na Mkuu wa Kitengo

Bi. Joyce Mnunguli

Lengo

Kutoa utalaamu katika huduma za matumizi ya TEHAMA katika Ofisi

Majukumu ya Kitengo ni kama ifuatavyo:-

  • (i). Kusimamia utekelezaji wa Miongozo mbalimbali inayotolewa na wakala wa Serikali Mtandao (eGA)kwa lengo la kuboresha utendaji;
  • (ii). Kutoa msaada wa kiufundi na kitaalamu katika masuala ya TEHAMA;
  • (iii). Kusimamia miundombinu ya vifaa vya TEHAMA Wizarani.

Kitengo cha TEHAMA

Kitengo kinaongozwa na Mkuu wa Kitengo

Bi. Joyce Mnunguli

Lengo

Kutoa utalaamu katika huduma za matumizi ya TEHAMA katika Ofisi

Majukumu ya Kitengo ni kama ifuatavyo:-

  • (i). Kusimamia utekelezaji wa Miongozo mbalimbali inayotolewa na wakala wa Serikali Mtandao (eGA)kwa lengo la kuboresha utendaji;
  • (ii). Kutoa msaada wa kiufundi na kitaalamu katika masuala ya TEHAMA;
  • (iii). Kusimamia miundombinu ya vifaa vya TEHAMA Wizarani.
Settings