Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Kitengo cha Huduma za Sheria

Kitengo kinaongozwa na Mkurugenzi

Bw. Dustan Shimbo

Lengo

Kutoa utaalamu wa huduma za kisheria katika Ofisi

Kitengo kinatekeleza majukumu kama ifuatavyo:-

  • (i) Kutoa msaada wa kisheria kwa Ofisi na Taasisi zake katika kutafsiri sharia, na makubaliano mengine ya kisheria;
  • (ii) Kutoa ushauri wa kitaalamu katika maandalizi ya nyaraka za kisheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwakasheria Mkuu wa Serikali;
  • (iii) Kuchambua na kushauri kuhusu sharia, kanuni na miongozo inayohusu masuala ya Muungano na yasio ya Muungano;(iv) Kushiriki katika mashauriano na mikutano ya kisheria inayohusu Mazingira, Muungano na masuala yasiyo ya Muungano;
  • (v) Kutafsiri sheria kuhusu masula ya Mazingira;
  • (vi) Kusikiliza mashauri ya jinai na madai yanayohusu Ofisi kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; na (vii) Kufuatilia, kutathmini na kutoa taarifa ya utekelezaji wa maamuzi ya mahakama kuhusu mashauri yanayohusu Ofisi katika masuala ya Muungano na yasiyo ya Muungano.

Kitengo cha Huduma za Sheria

Kitengo kinaongozwa na Mkurugenzi

Bw. Dustan Shimbo

Lengo

Kutoa utaalamu wa huduma za kisheria katika Ofisi

Kitengo kinatekeleza majukumu kama ifuatavyo:-

  • (i) Kutoa msaada wa kisheria kwa Ofisi na Taasisi zake katika kutafsiri sharia, na makubaliano mengine ya kisheria;
  • (ii) Kutoa ushauri wa kitaalamu katika maandalizi ya nyaraka za kisheria kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwakasheria Mkuu wa Serikali;
  • (iii) Kuchambua na kushauri kuhusu sharia, kanuni na miongozo inayohusu masuala ya Muungano na yasio ya Muungano;(iv) Kushiriki katika mashauriano na mikutano ya kisheria inayohusu Mazingira, Muungano na masuala yasiyo ya Muungano;
  • (v) Kutafsiri sheria kuhusu masula ya Mazingira;
  • (vi) Kusikiliza mashauri ya jinai na madai yanayohusu Ofisi kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali; na (vii) Kufuatilia, kutathmini na kutoa taarifa ya utekelezaji wa maamuzi ya mahakama kuhusu mashauri yanayohusu Ofisi katika masuala ya Muungano na yasiyo ya Muungano.
Settings