Waziri Masauni, Balozi wa Saudi Arabia wakutana Dar es Salaam.
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi, alipowasili Addis Ababa, Ethiopia kushiriki Mkutano wa AU.
Semina kwa Kamati ya Bunge kuhusu Mipango na Mikakati ya Serikali ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira jijini Dodoma Februari 13, 2026.
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Februari 13, 2026.
Semina ya Wabunge kuhusu Muungano na Mazingira katika Ukumbi wa Pius Msekwa jijini Dodoma, Februari 11, 2026.