Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Mkutano wa 11 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Mpango wa Amani, Usalama na Ushirikiano kwaajili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Ukanda wa Maziwa Makuu uliofanyika Ikulu ya Bujumbura, Burundi tarehe 06 Mei 2023.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wameusindikiza mwili wa aliyekuwa Dobi Ofisi ya Makamu wa Rais Marehemu Jackson Mwakyelu unaosafirishwa kuelekea Kyela mkoani Mbeya kwa ajili ya mazishi.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip isdor Mpango amezindua Kituo Kikuu cha Zimamoto na Uokoaji katika Wilaya ya Temeke Mkoa Dar es salaam tarehe 28 Aprili 2023.
Matukio mbalimbali ya Kikao cha Bunge cha kuwasilisha Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mwaka wa Fedha 2023/24 leo Aprili 24, 2023.
Matukio mbalimbali ya Kikao cha Bunge cha kuwasilisha Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais kwa mwaka wa Fedha 2023/24 leo Aprili 24, 2023.
Settings