Maktaba ya Picha

Matukio mbalimbali kwenye banda la maonesho la Tanzania katika Mkutano wa COP 27 uliofanyika Novemba 2022 Sharm El-Sheikh, Misri.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Plan International Dkt. Mona Girgis. Dodoma Oktoba 26, 2022.
Naibu Katibu Mkuu Dkt. Switbert Mkama amefungua Warsha ya Kukuza uelewa wa Wataalamu kuhusu Sera ya Taifa ya Mazingira na Usimamizi wa Matumizi Salama ya Bioteknolojia ya kisasa Oktoba 27, 2022, Dodoma.
Kikao cha Kuandaa Mradi wa Kujenga Uwezo wa Utayari wa Nchi Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi Septemba 29, 2022, Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga ameongoza Kikao cha Mradi wa kujenga uwezo wa kuhimili athari za Mabadiliko ya Tabianchi Septemba 30, 2022, Dodoma.
Settings