Naibu Katibu Mkuu Balozi Baraka Luvanda akiwasili Ofisi ya Makamu wa Rais Dar es Salaam baada ya kuapishwa Ikulu, Februari 09, 2026.
Uapisho wa Balozi Baraka Luvanda kuwa Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam Februari 09, 2026.
Makamu wa Rais ashiriki hafla ya kusimikwa Uongozi wa Kitaifa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania Februari 06, 2026, Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Dkt. Richard Muyungi afanya mazungumzo na wadau wa Mazingira kutoka Kazzi Group, Dodoma Februari 5, 2025.
Makamu wa Rais ashiriki mazishi ya Mbunge mstaafu Marehemu Munde Tambwe mkoani Tabora Februari 04, 2026