Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais mkoani Dodoma leo tarehe 05 Desemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi atembelea Ofisi ya Makamu wa Rais na kukagua jengo la Ofisi hiyo linaloendelea kujengwa katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma leo tarehe 05 Desemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ashiriki Mkutano wa 7 wa Viongozi wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya (AU-EU Summit), unaofanyika Jijini Luanda nchini Angola. Tarehe 24 Novemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi afanya mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu, Zanzibar leo tarehe 22 Novemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Li Qiang, wakiweka jiwe la msingi la uzinduzi wa Ukarabati Mkubwa wa Reli ya TAZARA iliyofanyika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mulungushi Jijini Lusaka nchini Zambia. Tarehe 20 Novemba 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akabidhiwa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 04 Novemba 2025.