Waziri Hamad Yussuf Masauni azindua Bodi ya NCMC tarehe 06 Machi, 2026, Dar es Salaam.
Naibu Waziri Dkt. Festo Dugange akagua uzalishaji wa vifungashio kwenye kiwanda cha L & N na kitalu cha miche Missenyi, Kagera Februari 27, 2026.
Katibu Mkuu akutana na wadau wa Mazingira kutoka Furaha & Baraka Farm Limited Dodoma, Februari 24, 2026.
Ziara kiwanda cha kuzalisha mbolea Mabwepande Kinondoni, Dar es Salaam Februari 23, 2026.