Maktaba ya Picha

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam Machi 29, 2023 kuanza ziara nchini Tanzania.
Ofisi ya Makamu wa Rais imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 na Makadirio ya Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 kwa Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira, Dodoma Machi 24, 2023.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amekagua miradi ya maendeleo Wilaya ya Buhigwe, Kigoma Machi 23, 2023.
Kamati ya Bunge ya Maji na Mazingira imetembelea Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo Kame nchini (LDFS) katika Wilaya ya Nzega, Tabora.
Settings