Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Switbert Mkama akikagua utekelezaji wa Mradi visima vilivyochimbwa kupitia Mradi wa EBARR Mpwapwa mkoan Dodoma.
Naibu Waziri Khamis Hamza Khamis akizungumza wakati wa makabidhiano ya boti za uvuvi zilizotolewa kupitia Mradi wa EBARR na kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip akikagua zoezi la upandaji miti na uhifadhi wa bonde la Mzakwe jijini Dodoma Mpango Januari 05, 2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka jiwe la msingi la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini iliopo Mikindani Mkoa wa Mtwara Julai 26, 2021
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais katika yaliyofanyika jijini Dodoma Aprili 28, 2021.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu ofisini kwake, kujitambulisha baada ya kuteuliwa.