Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu katika huhudia zoezi la uteketezaji wa mifuko isiyokidhi wilayani Manyoni, Singida Februari 08, 2020.
Makamu wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiakagua miti iliyopandwa Mzakwe, Dodoma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitembelea eneo la ujenzi wa Ofisi za SMZ Dodoma
Waziri Zungu atoa vyeti kwa wakaguzi wa mazingira na kutoa tamko la Siku ya Mazingira jijini Dodoma
Naibu Waziri Sima afanya ziara ya kikazi mkoani Tanga