Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Makamu wa Rais

Tanzania, Qatar kukuza uwekezaji

Feb, 20 2026

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazugumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Mhe. Fahad Rashid Al-Marekhi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 20 Februari 2026.

Mazungumzo hayo, yameangazia ushirikiano uliopo baina ya Qatar na Tanzania na kulenga kuimarisha zaidi uhusiano wa kidiplomasia pamoja na kukuza uwekezaji na biashara baina ya Mataifa hayo mawili.

Habari

Tanzania, Qatar kukuza uwekezaji


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazugumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Mhe. Fahad Rashid Al-Marekhi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 20 Februari 2026.

Mazungumzo hayo, yameangazia ushirikiano uliopo baina ya Qatar na Tanzania na kulenga kuimarisha zaidi uhusiano wa kidiplomasia pamoja na kukuza uwekezaji na biashara baina ya Mataifa hayo mawili.

Settings