 |
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha
Bilal, akimpongeza kwa kumpa taji la maua mtoto wa dada yake, Musiba Mshimba,
aliyehitimu katika Chuo cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki baada ya kutunukiwa cheti
cha kuhitimu mafunzo ya Doctor Of Medicine wakati wa mahafali ya 9 ya chuo hicho
yaliyofanyika Ukumbi wa karimjee jijini Dar es Salaam leo mchana. |
| Mke wa Makamu wa Rais Ahudhuria mahafali |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi tuzo mmoja wa wanafunzi wa Sheria waliosoma katika Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam, Jaji Mkuu wa Tanzania Othman Mohammed Chande, wakati wa Kilele cha
maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo hicho tangu kilipoanzishwa mwaka 1961, zilizofanyika
Chuoni hapo jijini Dar es Salaam leo Oktoba 22,. Picha na Muhidin Sufiani-OMR |
| Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akitoa tuzo |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Kitivo cha Sheria,
baada ya kutoa tuzo kwa baadhi ya wanafunzi wa zamani wa Taaluma ya Sheria waliosoma
katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani-OMR |
| Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal katika picha ya pamoja |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwahutubia Watanzania waishio New York na Vitongoji vyake, wakati
alipokutana nao kwa ajili ya mazungumzo nao na kuwatambua, ikiwa ni mara ya kwanza
tagu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo. |
| Makamu wa Rais aongea na Watanzania wanaoishi New York. |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwasili kwenye Ukumbi wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa, jijini New York Juni
10, 2011 |
| Makamu ahudhuli ufungaji wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ukimwi |
 |
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Comoro, kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za
kuapishwa rais mpya wa saba wa Jamhuri ya watu wa Comoro zilizofanyika kwenye
Viwanja wa Bunge la nchi hiyo jijini Moroni Mei 26. |
| MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA COMORO |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akipata Maelezo
kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Bw Nurdin Babu alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa
kilwa Kuzinduwa Mradi wa Uhifadhi Misitu ya Ukanda wa Pwani. |
| Waziri wa Nchi-Mazingira azinduwa mradi wa kuhifadhi misitu kand ya Pwani |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi mkutano wa sita wa Kimataifa wa Afrika
kuhusu Teknolojia ya Taarifa na Mawasiliano ya Ustawi, Elimu na Mafunzo (ICT). |
| Makamu wa Rais akifungua rasmi mkutano wa sita wa Kimataifa wa Afrika |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Profesa Amandina Lihamba, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mara
baada ya kufungua Warsha ya siku mbili kuhusu Utafiti. |
| MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA WARSHA YA SIKU MBILI KUHUSU UTAFITI YA VYUO VIKUU. |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nungwi |
| MAKAMU WA RAIS DKT. BILALA AZINDUA VYUMBA 7 VYA MADARASA YA SHULE YA SEKONDARI |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal,
akitembelea mahema ya wahanga 80, waliopatwa na janga la kuchomewa nyumba zao na
watu wasiojulikana eneo la Pwani Mchangani |
| MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWATEMBELEA WALIOUNGULIWA NA NYUMBA ZAO UNGUJA |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed
Gharib Bilal, akipanda mti ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti |
| MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI MKOA WA KASKAZINI UNGUJA |
 |
Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akiingia kwenye Ukumbi wa Mkutano,
wakati aliwasili kwenye ukumbi huo kwa ajili ya kuhudhuria mkutano wa Umoja wa
Mataifa kuhusu Maendeleo ya Nchi masikini Duniani |
| Makamu wa Rais katika Mkutano wa Nchi Maskini-Istanbul,Turkey |
 |
warsha ya kukuza weledi wa namna ya kukabiliana na kemikali haribifu kwa mazingira na viumbe kutoka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Tanga |
| Warsha-Kukabiliana na Chemikali Haribifu |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal,
akiagana na Msaidizi Mkuu wa Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Derhan Dogan katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam |
| Safarini Uturuki |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mohamed Gharib Bilal,
akimkabidhi Tunzo ya Heshima Rais mstaafu wa awamu ya tatu Mzee Mkapa kwa kutambuwa
mchango wake bora kwenye mambo ya michezo kutokana na jitihada zake za kuwezesha
kujengwa uwanja mpya wa michezo. |
| Tunzo za Michezo Tanzania |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi
(Hesabu za Serikali) Zanzibar, baada ya mazungumzo yao Ikulu Dar es Salaam jana,
baada ya wajumbe hao kumaliza mafunzo ya siku nne ya kamati hiyo kuhusu Usimamizi na
Matumizi ya fedha za Serikali, yaliyomalizika hivi karibuni jijini |
| Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi |
 |
Wafanyakazi wakiandamana kuelekea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam
jana, wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi).
Sherehe hizo ziliadhimishwa kitaifa Mkoani Morogoro na kuhudhuliwa na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete. |
| Sikukuu ya Wafanyakazi-Mei |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal katikati,akiwapungia mkono wananchi wa kijiji cha Busisi wakati alipokuwa akiteremka kutoka kwenye kivuko cha M.V Misungwi |
| Ziara ya Makamu Mkoani Mwanza |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal,
akizungumza na Ujumbe wa Kamati ya Uongozi wa Bunge la Afrika Mashariki ulioongozwa na Spika wa Bunge hilo Nhe. Abdulrahman H. Abdi, wakati Ujumbe huo ulipofika Ofisini
kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam |
| Dk. Bilal akutana na ujumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Afrika Mashariki |
 |
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza jambo na Naibu Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava Mara Baada ya Rais Jakaya Kikwete
Kuapisha Makatibu wakuu Ikulu |
| Katibu Mkuu-Sazi Salula |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal,
akizungumza na Ujumbe kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu ulioongozwa na Waziri wa Nchi
wa Umoja wa Falme hizo Dk. Reem Ibrahim Al Hashimy |
| Dk. Bilal akutana na ujumbe wa UAE na Balozi wa Brazil |
 |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal,
akizungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Zimbabwe Mhe. Thokozani Khupe. Mhe. Khupe alifika Ofisi kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam |
| Makamu na Ujumbe kutoka Zimbabwe |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano Samia Suluhu Hassan akizungumza na
Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Bora Wakati ilipokuwa na Ziara ya Siku
Moja,katika Ofisi ya Makamu wa Rais kulia Mwenyekiti ya Kamati hiyo Pindi Hazara Chana Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dk Abdullah Juma na
Mbunge wa Chake chake Mussa Haji |
| Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala Bora |
 |
Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Teresya Huvisa akizungumza na
Waandishi wa Habari Ofisini Kwake Kuhusu Uzinduzi wa Mpango wa Usafi wa Jiji la Der
es Salaam utakaozinguliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dk Mohamed Gharib
Bilal kulia Mkurugenzi wa Mazigira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Julias Nindu |
| Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira |
 |
Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Ruth Mollel akikabidhi vifaa vya kutendea kazi , gari moja na pikipiki 10 kwa Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Bonde la Ziwa Tanganyika ikiwa ni ufadhili kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika. |
| Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Ruth Mollel akikabidhi vifaa vya kutendea kazi |
 |
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akifurahia ngoma ya asli ya Kabila la Wagogo baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa mjini Dodoma leo Nov 10, ikiwa ni ziara yake ya kwanza kufanya mkoani hapa tangu apate wadhifa huo. Kiongozi huyo atakuwa mkoani hapa kuhudhuria mikutano ya CCM katika ngazi za Kamati Kuu na Halmshauri Kuu na kisha sherehe za kuapishwa wabunge sambamba na uteuzi wa Waziri Mkuu. |
| Makamu Dodoma |
 |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu waRais Mazingira,Dk.Batilda Burian akipanda mti katika kiwanda cha Saruji-Wazo Hill |
| Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu waRais Mazingira |
 |
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Aman Abeid Karume akiwa pamoja na mkewe mama Shadia Karume wakibadilishana mawazo na Waziri wa Nchi Muungano na Katibu Mkuu OMR siku alipozindua rasmi jengo la OMR lililopo Tunguu Zanzibar |
| Jengo la OMR-Tunguu Zanzibar |